- 73 viewsMama wa Kipalestina Ghaneyma Joma alikuwa amekaa chini katika hospitali ya Nasser huko Khan Younis, Gaza, akiwa pembeni ya mtoto wake wa kiume Younis Joma ambaye afya ya imeendelea kuwa mbaya tangu kuanza kwa vita, alisema. “Inahuzunisha kumuona mtoto wangu mbele yangu akisubiri kufa kutokana na utapiamlo kwa sababu siwezi kumpatia kitu chochote kutokana na vita, kufungwa kwa vivuko na maji machafu,” alisema. Younis ni mmoja wa watoto wa Kipalestina ambao wanaguswa na athari za vita huku kukiwa na uhaba wa chakula na maji safi. Hospitali pia zinakabiliwa na shinikizo kubwa la wagonjwa wengi wanaowapokea na huku huduma zikiwa finyu kutokana na vita. Kampeni ya Jeshi la Israel imeziweka hospitali nyingi na vituo vingine vya afya kutoweza kutoa huduma, kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), na kusababisha ukosefu mkubwa wa mahitaji ya tiba. Israel inakanusha kukusudia kulenga vituo vya afya au kuzuia upatikanaji wa mahitaji ya tiba kupelekwa Gaza. Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli. Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000. Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakazi asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu. - Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
'Nahisi mtoto wangu anakufa mbele ya macho yangu'
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 14 Mar 2025 - Namibia has confirmed the first case of cholera in ten years, the Africa Centres for Disease Control and Prevention said on Thursday, adding that laboratory confirmation of the disease was "a major alert" for the country's health officials.
- 14 Mar 2025 - Police in Ruiru, Kiambu County, have arrested a Super Metro matatu driver following the death of a passenger who was allegedly thrown off the moving vehicle.
- 13 Mar 2025 - The search for answers and closure has been an agonizing journey for the hundreds of families who lost loved ones in the country's worst religious-inspired massacre at Shakahola.
- 13 Mar 2025 - ODM party Secretary General Edwin Sifuna is among a host of African leaders of opposition parties who were on Thursday denied entry into Angola.
- 13 Mar 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched a probe into allegations of bribery against Thika Law Courts Chief Magistrate Stellah Atambo.
- - US judge orders Trump administration to reinstate thousands of fired workers
- 13 Mar 2025 - The accident occurred near Adams Arcade as the presidential convoy was traveling from Lang’ata toward Kibra. Witnesses said the middle-aged white man was attempting to cross the road when he was struck by a speeding government vehicle. The driver…
- 13 Mar 2025 - Among those affected were a First Vice President from Tanzania, a former President of Botswana, a former Prime Minister of Lesotho, and delegates from Kenya, Sudan, South Africa, Namibia, Eswatini, Germany, the USA, Uganda, the Democratic Republic of…
- 13 Mar 2025 - Women entrepreneurs and industry leaders must navigate systemic barriers beyond financial constraints: access to markets, mentorship, policy implementation, and the deep-rooted cultural biases that still dictate who gets a seat at the table.
- » Gov't targets prisoners, border counties, students in new ID registration drive for health insurance access13 Mar 2025 - The government has announced a new national ID registration drive targeting marginalized groups, including communities living along national borders, prisoners, and high school students.