Skip to main content
Skip to main content

Naibu Kinara wa Jubilee Dkt. Fred Okeng'o Matiang'i asema serikali inawahonga wapigakura

  • | Citizen TV
    6,563 views
    Duration: 1:25
    Naibu Kinara wa chama cha Jubilee Dkt. Fred Okeng'o Matiang'i amelalamikia madai ya wapiga kura kuhongwa na viongozi wa kisiasa wa walio serikalini, anaodai wanatumia pesa za umma na magari ya serikali katika kampeni za uchaguzi mdogo wa tarehe 27.