- 113 viewsMwandishi wa Habari wa VOA Misha Komadovsky alirekodi malumbano makali kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy wakiwa Ofisi ya Oval, White House Februari 28, 2025. Mkutano wa White House kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ulikuwa na lengo la kufikia makubaliano ya kuiruhusu Marekani fursa ya kupata madini adimu na uligeuka malumbano makali kati ya viongozi hao na Trump alimueleza Zelenskyy, “ Ama utafikia makubaliano au sisi tunajitoa.” Katika taarifa kwenye mitandao ya kijamii baada ya mkutano huo, Trump aliashiria kuwa pendekezo la makubaliano limevunjika. “Nimegundua kuwa Rais Zelenskyy hayuko tayari kwa amani iwapo Marekani itahusishwa kwa sababu anahisi ushiriki wetu unampa fursa kubwa katika mashauriano,” Trump aliandika. Kufuatia ziara hiyo, Zelenskyy alibandika katika mtandao wa X: “Ahsante Marekani, nashukuru kwa msaada wenu, ahsante kwa ziara hii. Ahsante @POTUS. Bunge la Marekani, na watu wa Marekani. Ukraine inahitaji amani ya kudumu, na sisi tunalihangaikia hilo.” #trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa
Nini kilitokea katika mkutano wa Rais Trump na Zelenskyy?
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 4 Mar 2025 - U.S. President Donald Trump has paused military aid to Ukraine following his clash with Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy last week, a White House official said, deepening the fissure that has opened between the two one-time allies.
- 4 Mar 2025 - The move comes just days after a stunning public clash between Ukrainian President Volodymyr Zelensky and Trump, who is seeking a rapid end to the war.
- 4 Mar 2025 - Rwanda-backed M23 rebels launching an offensive in east Congo abducted at least 130 sick and wounded men from two hospitals in the city of Goma last week.
- 4 Mar 2025 - In an interview with Fox News, Vance said Ukraine's president conveyed "a lack of respect" during his televised White House meeting Friday with Trump and "showed a clear unwillingness to engage in the peace process" sought by his US counterpart.
- 4 Mar 2025 - The attack comes barely a month after a similar attack left three people dead.
- 4 Mar 2025 - Nairobi Governor Johnson Sakaja yesterday exonerated himself from any wrongdoing regarding the dumping of garbage at Kenya Power offices on the day MPs demanded to know why it had taken long for the county to order the trucks carrying the filth to be…
- 4 Mar 2025 - Transmara West sub-county is set to host this year’s Narok County Secondary Schools Term One A Games, which kick off on Wednesday at Kilgoris DEB Primary School. According to Narok County Secondary School Sports Association Secretary Jacob Barusei, all…
- 4 Mar 2025 - The bodies of the victims have since been taken to the mortuary, awaiting a post-mortem.
- 4 Mar 2025 - Here is what you need to know to keep up to speed with today’s happenings. Malulu Injendi’s burial in Malava The late MP Malulu Injendi is set to be interred in a state burial in his constituency of Malava. Injendi who died after a long illness at the…
- 4 Mar 2025 - The Pope suffered two episodes of acute respiratory failure, prompting doctors to put him back on mechanical ventilation.