- 109 views
Waliowasilisha malalamishi dhidi ya ada ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu wameitaja kuwa kinyume cha sheria kwani inawazidishia wakenya mzigo na kuwanyima haki ya kuishi maisha yenye hadhi. Waliliambia jopo la majaji watatu wa mahakama kuu kwamba serikali ilitekeleza kwa haraka na kwa lazima sheria hiyo bila kutimiza sharti la kikatiba la kushirikisha umma. Na jinsi mwanahabari wetu Ruth Wamboi anavyotuarifu bunge limeshtumiwa kwa kukiuka jukumu lake kwa kuwanuima wakenya mali kupitia sheria dhalilishi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Nyumba za gharama nafuu I Mahakama yahimizwa kubatilisha sheria
- 26 Sep 2024 - The Evangelical Alliance of Kenya (EAK) has joined other religious leaders in rejecting the Religious Organizations Bill, 2024, proposed by Tana River Senator Danson Mungatana.
- 26 Sep 2024 - The Ministry of Health has unveiled new packages contained in the new medical scheme that is set to be rolled out on October 1, 2024.
- 25 Sep 2024 - Three victims in the Ksh.1 billion Finland education scholarship case told Nakuru Principal Magistrate Peter Ndege how they were duped to pay millions of shillings to secure slots for degree programmes in various universities.
- 25 Sep 2024 - Nominated Senator Raphael Chimera now wants the government to legalize the selling of local brew, terming it as healthy.
- 25 Sep 2024 - The Ministry of Interior’s National Government Administration Officers (NGAOs) will be on the frontline in the push to register Kenyans into the Social Health Authority (SHA) ahead of its roll out next week.
- 25 Sep 2024 - Individuals with key roles to play in Kenya Kwanza government's plan to use technology in provision of affordable healthcare.
- 25 Sep 2024 - The event on Sunday was supposed to be a glamorous affair with ballroom dancing and music
- 25 Sep 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 25 Sep 2024 - “It's now almost two years, none of the police officers linked to the shooting has been arrested."
- 25 Sep 2024 - CS: 46,000 intern teachers to apply afresh