Skip to main content
Skip to main content

Odm yalazimisha serikali kutoa fidia haraka kwa familia zilizopoteza wapendwa wao katika maandamano

  • | Citizen TV
    1,973 views
    Duration: 2:59
    Chama cha ODM sasa kinaitaka serikali kuharakisha fidia kwa fimilia zilizowapoteza wapendwa wao wakati wa maandamano nchini. Katika hafla ya kumkumbuka Hayati Raila Odinga iliyoandaliwa eneo bunge la awendo, viongozi wa ODM wamesema kuwa japo kuna kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga jopo lilobuniwa na rais William Ruto, mahakama iweke haki ya waathiriwa mbele ili familia hizo zipate fidia kwa haraka