- 1,942 views
Kwa mara ya kwanza katika muda wa miaka 28, afisi ya mkuu wa sheria kwa ushirikiano na tume ya sheria ya Kenya imechapisha nakala ya sheria za Kenya kama notisi ya kisheria nambari 221 ya mwaka 2023. Hii ikiwa ni kulingana na vipengee vya sheria ya taifa hili. Ndani ya Nakala hiyo kuna mabadiliko ya sheria ya tangu mwaka 1995 hadi 2022. Hatua hii ina ainisha sheria za Kenya na ajenda ya serikali ya Kenya Kwanza kuhusu swala nzima la Wakenya kupata taarifa wanayohitaji. Uchapishaji wa nakala hii utawasidia wakenya kupata fursa ya kutangamana na sheria zilizopo kwa urahisi mbali na kutoa nafasi ya sheria kupatikana kwa njia ya kidijitali. Hafla hiyo ya uzinduzi ilihudhuriwa na Rais William Ruto na Mkuu wa Sheria Justin Muturi.
Ofisi ya Mkuu wa Sheria imechapisha nakala ya sheria
- 22 May 2024 - Trump's campaign blamed an inattentive staffer for reposting the 30-second clip, which flashed a series of fictitious news stories painting a picture of American prosperity, with one including the term normally associated with Nazi Germany.
- 22 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Former Football Kenya Federation (FKF) President Sam Nyamweya has urged Gor Mahia FC to emulate their Tanzanian neig*bours Young Africans […]
- 22 May 2024 - Denis's report into Lacroix was concluded on May 6 and delivered to the pontiff in the days that followed, the Vatican said in its statement, which was translated into English and French, Canada's two official languages.
- 22 May 2024 - National Assembly Budget and Appropriations Committee Chairperson Ndindi Nyoro has revealed that the government will confirm all Junior Secondary School (JSS) teachers who are currently on intern terms.
- 22 May 2024 - The National Assembly Budget and Appropriations Committee Chair Ndindi Nyoro has downplayed assertions intimating that the school feeding programme has been scrapped due to its absence in the proposed budget for the 2024/25 fiscal year.
- 22 May 2024 - The National Assembly Budget and Appropriations Committee Chair Ndindi Nyoro has downplayed assertions intimating that the school feeding programme has been scrapped due to its absence in the proposed budget for the 2024/25 fiscal year.
- 22 May 2024 - Mombasa Woman Representative Zamzam Mohamed Chimba has firmly reiterated her unwavering stance against the use of muguka and the unregulated consumption of miraa in the county.
- 22 May 2024 - Hospital officials said Israeli forces had fired on the facilities and that snipers had been deployed near one of them.
- 22 May 2024 - The Israeli communications ministry accused the AP of breaching a new ban on providing rolling footage of Gaza to Qatar-based satellite channel Al Jazeera.
- » Kenya’s national football team to miss the services of Ok*mu, ‘Marcelo’, Masoud and Ng’ang’a against Burundi and Ivory Coast22 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya’s Harambee Stars has s******d a huge b**w after four key players led by defender Joseph Ok*mu were ruled out […]