Wamarekani 2 washukiwa wa jaribio la mapinduzi wakamatwa DRC
Majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanasema kuwa yamezima jaribio la mapinduzi mapema Jumapili na kuwakamata wahalifu, wakiwemo raia wa kigeni kadhaa.
Hii ilifuatia mashambulizi yaliyofanywa katika kasri ya rais na makazi ya mshirika wa karibu wa Rais Felix Tshisekedi ambapo watu watatu waliuawa katika mji mkuu, Kinshasa.
Sita kati ya hao waliouawa ni pamoja na washambuliaji watatu na kiongozi wao, kiongozi wa upinzani aliyekuwa anaishi ughaibuni Christian Malanga, msemaji wa jeshi la Congo Brigedia Jenerali Sylvain Ekenge aliwaambia waandishi wa habari Jumapili usiku, akiongeza kuwa wahalifu takriban 50 walikamatwa.
Video hiyo inaonyesha watu kadhaa wa Congo ambao hakutambulishwa, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi la ulinzi ilichosema kilikuwa ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa wamezingirwa na wanajeshi wa Congo.
Wamarekani wawili, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi ilichosema ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa chini wamezungukwa na wanajeshi wa Congo (mtoto raia wa Marekani wa Christian Malanga katika picha ya chini, iliyozungushiwa duara jekundu).
#mapinduzi #drc #jeshi #wanamgambo #felixtshisekedi #voa #voaswahili #christianmalanga #jenerali #sylvainekenge #congo #rais #felixtshisekedi
17 Oct 2024
- Gachagua was formally impeached after a majority of Senators voted in favour of the motion.
17 Oct 2024
- The update came hours after Gachagua fell sick and was rushed to Karen Hospital.
17 Oct 2024
- Kenya is keen towards 100 per cent transition to renewable energy.
18 Oct 2024
- The exercise was thrown into disarray for hours after the former Mathira MP suddenly fell ill.
18 Oct 2024
- The bald truth: Of Millie's candid and shocking take on women's challenges and choices in Parliament, and the wig that hides Kenya's struggle
18 Oct 2024
- The Kenya women’s U17 Soccer team,Junior Starlets went down 0-2 to England in their opening group C match of the ongoing FIFA U17 Women’s World Cup in Dominican Republic. England eager to stamp their authority in the game, controlled proceedings from…
18 Oct 2024
- The Senate has resolved to impeach Deputy President Rigathi Gachagua following a two-day exercise that entailed volumes of evidence and hours of cross-examination.
18 Oct 2024
- The World Bank will unveil plans to tackle job creation, gender disparities, and food security at next week's gathering of the world's finance ministers and central bankers in Washington, its president said in an interview. The World Bank also plans to…
18 Oct 2024
- World Bank chief says lender's climate goals likely safe under Trump
18 Oct 2024
- Nominated Senator Karen Nyamu has now shifted some semblance of blame to President William Ruto for choosing Rigathi Gachagua as his preferred deputy in the run-up to the 2022 elections.
18 Oct 2024
- Prof Kindiki’s bid has been strengthened by the recent opinion polls by Infotrak and Tifa.
18 Oct 2024
- The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…
18 Oct 2024
- The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…