- 41 viewsMajeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanasema kuwa yamezima jaribio la mapinduzi mapema Jumapili na kuwakamata wahalifu, wakiwemo raia wa kigeni kadhaa. Hii ilifuatia mashambulizi yaliyofanywa katika kasri ya rais na makazi ya mshirika wa karibu wa Rais Felix Tshisekedi ambapo watu watatu waliuawa katika mji mkuu, Kinshasa. Sita kati ya hao waliouawa ni pamoja na washambuliaji watatu na kiongozi wao, kiongozi wa upinzani aliyekuwa anaishi ughaibuni Christian Malanga, msemaji wa jeshi la Congo Brigedia Jenerali Sylvain Ekenge aliwaambia waandishi wa habari Jumapili usiku, akiongeza kuwa wahalifu takriban 50 walikamatwa. Video hiyo inaonyesha watu kadhaa wa Congo ambao hakutambulishwa, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi la ulinzi ilichosema kilikuwa ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa wamezingirwa na wanajeshi wa Congo. Wamarekani wawili, wanaoshukiwa kuhusika katika kile jeshi ilichosema ni mapinduzi yaliyofeli, wakiwa chini wamezungukwa na wanajeshi wa Congo (mtoto raia wa Marekani wa Christian Malanga katika picha ya chini, iliyozungushiwa duara jekundu). #mapinduzi #drc #jeshi #wanamgambo #felixtshisekedi #voa #voaswahili #christianmalanga #jenerali #sylvainekenge #congo #rais #felixtshisekedi
Wamarekani 2 washukiwa wa jaribio la mapinduzi wakamatwa DRC
- - Citizen TV Live ››
- - NTV LIVE: March 2025 ››
- - Duniani Leo ››
- 12 Mar 2025 - Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
- 12 Mar 2025 - Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.
- 12 Mar 2025 - Mr Mudavadi says about 26,000 Kenyans are in Lebanon and evacuating them is a very massive undertaking.
- 12 Mar 2025 - Tompoi, who was on patrol with the UN-backed mission in Haiti, was killed in a confrontation with gang members on February 23.
- 12 Mar 2025 - Uasu blames the council over the delayed implementation of the retirement age clause in the 2017 – 2021 CBA
- - Raila: I didn't go to Ruto, he came looking for me
- 12 Mar 2025 - Catholics and Muslims experience a rare convergence of fasting, prayer and reflection.
- 12 Mar 2025 - Over 500 healthcare providers received less than Sh100,000 during the entire period.
- 12 Mar 2025 - Digital security is critical for consumer trust and brand integrity
- 12 Mar 2025 - Back to sunroof campaigns or development tours?