- 60 views
Idara ya upelelezi wa masuala ya Jinai itafahamu kesho iwapo itapewa siku 14 kuwazuilia maafisa watano wa Polisi kutoka Kituo cha Polisi cha Gigiri ambao wanasemekana kuhusika na kutoroka kwa wafungwa 13 kutoka kituo hicho. Ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma ilimweleza hakimu anayesimamia kesi hiyo, Martha Nanzushi kwamba uchunguzi umeanza kubaini ikiwa maafisa hao walisaidia katika kutoroka huko ambapo mshukiwa wa mauaji ya wanawake 42 huko Kware, Collins Jumaisi alikuwa miongoni mwa waliotoroka.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Polisi-5 washtakiwa kwa kuwasaidia washukiwa kutoroka
- 26 Oct 2024 - France's National Assembly on Friday approved an amendment to the government's 2025 belt-tightening budget bill that would hit the country's wealthiest individuals with a billionaires tax.
- 26 Oct 2024 - In Uruguay's capital Montevideo and around this South American nation of 3.4 million people, voters are gearing up for Sunday's election, overshadowed by a plebiscite on pensions the same day and fears over crime.
- 26 Oct 2024 - A prolific "catfish" offender who pushed one of his victims, a 12-year-old US girl, to commit suicide was on Friday jailed for life at a court in Northern Ireland.
- 26 Oct 2024 - My ex-husband didn't give a coin for Sh70m property, says athlete
- 26 Oct 2024 - Savannah ups offer in fight for Bamburi with Tanzania firm
- 26 Oct 2024 - Kenya must embrace diversity to achieve real national prosperity
- 26 Oct 2024 - All systems set for Monday's final national primary assessment
- 26 Oct 2024 - Impeached Gachagua suffers blow after judges stay put on hearing his case
- 26 Oct 2024 - Quarter of medical training schools fail to meet standards
- 26 Oct 2024 - William Ruto risks falling into the trap of not getting the truth