Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aahidi kuifanya Kenya kuwa taifa lenye uchumi imara na linalojitegemea

  • | Citizen TV
    1,432 views
    Duration: 1:23
    RAIS William Ruto ameendelea kuelezea imani yake kuwa Kenya itafikia viwango vya mataifa yaliyoendelea kiuchumi na yenye uwezo wa kujisimamia yenyewe ulimwenguni.