Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto akutana na Gideon Moi na wajumbe wa KANU

  • | Citizen TV
    13,824 views
    Duration: 2:50
    Rais William ruto amefichua mazungumzo yake ya faragha na mwenyekiti wa chama cha KANU Gideon Moi, akisema alimtafuta Gideon ili amsaidie kuunganisha taifa na kuleta mabadiliko. Akizungumza nyumbani kwake Kabarak kaunti ya Nakuru, Gideon Moi kwa upande wake alisema alikubali wito wa Rais Ruto akisema yuko tayari kwa ushirikiano zaidi