Skip to main content
Skip to main content

Seneta Cherargei aunga mkono utekaji nyara wa wakenya

  • | Citizen TV
    8,461 views
    Duration: 1:48
    Seneta wa Nandi Samson Cherargei ameunga mkono utekaji nyara na dhuluma dhidi ya wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo nchini Uganda na kusema Kenya inapaswa kuwaadhibu zaidi.