- 672 viewsAfisa wa Uhusiano na Itifaki wa shirika la Usalama wa Nje, ESO, Uganda Paul Mugisha anasema kundi la wanachama 36 wa chama cha siasa cha FDC waliorejeshwa kutoka Kenya, lilikamatwa kisumu kwa kujihusisha na vitendo vya kutia shaka ambapo walinda usalama nchini Kenya waliiarifu Uganda kuhusu kukamatwa kwa kundi hilo kabla ya kurejeshwa. Naye mmoja wa wanachama wa FDC Samule Makokha Mugenyi aliyekuwa huko Kenya alieleza usumbufu waliokutana nao wakati walipokuwa wakikamatwa. Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa, Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza. "Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza. Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja. Polisi nchini Uganda walidai kwamba kundi hilo lilisafiri kati ya Julai 22 na 23 2024 kutoka maeneo mbalimbali ya Uganda hadi Kisumu, Kenya. #uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
Serikali ya Uganda yaeleza sababu ya viongozi 36 wa FDC kukamatwa Kenya
- - Duniani Leo ››
- 24 Oct 2024 - A shootout near the capital of Mexico's Sinaloa state killed 19 suspected gang members, while one local cartel leader was arrested, Mexico's defense ministry said on Tuesday, as intra-cartel violence intensifies.
- 24 Oct 2024 - As Namibia prepares to hold a general election next month, the country's main opposition party has objected to the South African company hired to print the ballots.
- 24 Oct 2024 - The United States said for the first time on Wednesday that it had seen evidence of North Korean troops in Russia, and South Korean lawmakers said about 3,000 soldiers had been sent to support the Kremlin's war in Ukraine with more to follow.
- 24 Oct 2024 - Nigerian President Bola Tinubu reshuffles his 45-member cabinet, naming seven new members and sacking five.
- 24 Oct 2024 - IMF warns of crisis if no action is taken to create jobs for Gen Z
- 24 Oct 2024 - Kindiki, Wandayi in a spot for snubbing Senate
- 24 Oct 2024 - Career civil servants in DP's office finally allowed to work
- 24 Oct 2024 - Moi University fights for survival amid calls for urgent overhaul
- 24 Oct 2024 - Government unites against Impeached DP Rigathi Gachagua
- 24 Oct 2024 - Thangwa seeks four year term for elected leaders