Serikali ya Uganda yaeleza sababu ya viongozi 36 wa FDC kukamatwa Kenya
Afisa wa Uhusiano na Itifaki wa shirika la Usalama wa Nje, ESO, Uganda Paul Mugisha anasema kundi la wanachama 36 wa chama cha siasa cha FDC waliorejeshwa kutoka Kenya, lilikamatwa kisumu kwa kujihusisha na vitendo vya kutia shaka ambapo walinda usalama nchini Kenya waliiarifu Uganda kuhusu kukamatwa kwa kundi hilo kabla ya kurejeshwa.
Naye mmoja wa wanachama wa FDC Samule Makokha Mugenyi aliyekuwa huko Kenya alieleza usumbufu waliokutana nao wakati walipokuwa wakikamatwa. Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa,
Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza.
"Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili
Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza.
Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja.
Polisi nchini Uganda walidai kwamba kundi hilo lilisafiri kati ya Julai 22 na 23 2024 kutoka maeneo mbalimbali ya Uganda hadi Kisumu, Kenya.
#uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- A little outreach goes a long way in redeeming lives of despised and shunned lot
22 Apr 2025
- Religious leaders say they are only holding Ruto accountable as head of state.
22 Apr 2025
- His tenure is not without challenges amid high expectations from taxpayers.
22 Apr 2025
- Court of Appeal upheld a High Court verdict that his intentional killing of an innocent man was inexcusable.
22 Apr 2025
- The current doctor-to-patient ratio in Kenya is still far below WHO recommendation of one doctor to 1,000 patients.
22 Apr 2025
- Nassir said the most difficult part was not bringing the building down, but the evacuation of 60,000 people.
22 Apr 2025
- Kenya’s hopes of qualifying for the 2025 Toyota Junior Golf World Cup in Japan now rest on the shoulders of seven rising golf stars who were officially flagged off yesterday at the Royal Nairobi Golf Club ahead of the All Africa Junior Team Championship…
22 Apr 2025
- With his storm of tariffs on Chinese goods, US President Donald Trump has torched ties with Beijing and likely wrecked any hope of meeting his counterpart Xi Jinping in the near term, analysts say. Ali Wyne, a senior research and advocacy adviser…
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…