- 260 views
Kikosi cha wanasheria wa Kanisa la St Joseph Messiah in Africa kimetetea haki za waumini wao dhidi ya agizo la serikali la kulifunga kanisa hilo lenye utata huko Rongo, eneo la Opapo kaunti ya Migori. Uamuzi wa Naibu Kamisama wa Rongo George Matundura kuwazuia waumini wa dhehebu hilo kuingia ndani ya kanisa hilo na kuwalazimisha kurejea nyumbani umeibua hasira na wasiwasi kwa wawakilishi wa kisheria wa kanisa hilo......hatua hiyo ilichukuliwa baada ya watu wawili kufariki wakitafuta uponyaji katika kanisa hilo. Wakili wa kanisa hilo Benard Acholla amesema atawasilisha ombi mahakamani kupinga agizo la serikali.
Serikali yafunga kanisa la St. Joseph Messiah in Africa, Rongo
- - Reconstituting IEBC ››
- 23 Apr 2025 - Many world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is expected to draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Former Migori Governor Okoth Obado has defended himself in the case where he was found to have a case to answer in the murder of the late university student Sharon Otieno.
- 23 Apr 2025 - Nine family members died in a suspected arson attack in Sigomre, Siaya County, on Tuesday night.
- 23 Apr 2025 - The authority apprehended a businessman in the ongoing crackdown.
- 23 Apr 2025 - In the past few weeks, gambling has triggered uproar among Kenyans.
- 23 Apr 2025 - Her lifeless body was discovered in a thicket with her hands placed over her head.
- 23 Apr 2025 - This comes just over a week after the four people pleaded guilty to smuggling 5,000 queen ants at the JKIA court.
- 23 Apr 2025 - Former Kiambu Governor Ferdinand Waititu, who is currently serving a prison sentence after being convicted on corruption-related charges, has been granted permission to amend his petition seeking release on bail.
- 23 Apr 2025 - They allege it is a scheme to corruptly hire senior officers at the expense of promoting qualified personnel.
- 23 Apr 2025 - Ruto argues that Council’s framework no longer aligns with today’s multipolar reality.