- 84 views
Uvumbuzi, Utafiti wa data kuhusu sera ya wafanyabiashara wadogo ni kati ya sera ambazo serikali inanuia kutekeleza, ili kuliziba pengo linalozuia kukua kwa biashara ndogo nchini. Serikali inaendeleza mchakato wa kubadilisha sheria ya mwaka 2020, inayozidhibiti biashara hizi. Haya ni kwa mujibu wa idara ya Biashara ndogo inayokusanya maoni kutoka kwa wakenya kuhusu kubadilishwa kwa sheria hiyo, baada ya kubainika kwamba asilimia 84 ya biashara ambazo huanzishwa nchini hufilisika kabla ya mwaka mmoja kuisha.
Serikali yakusanya maoni kuhusu mabadiliko ya sera ya biashara ndogondogo, Nyeri
- - Reconstituting IEBC ››
- 23 Apr 2025 - Many world leaders have announced they will travel to Rome for Pope Francis's funeral on Saturday, which is expected to draw a huge crowd in the square in front of St Peter's Basilica at the Vatican.
- 23 Apr 2025 - Former Migori Governor Okoth Obado has defended himself in the case where he was found to have a case to answer in the murder of the late university student Sharon Otieno.
- 23 Apr 2025 - Nine family members died in a suspected arson attack in Sigomre, Siaya County, on Tuesday night.
- 23 Apr 2025 - The authority apprehended a businessman in the ongoing crackdown.
- 23 Apr 2025 - In the past few weeks, gambling has triggered uproar among Kenyans.
- 23 Apr 2025 - Her lifeless body was discovered in a thicket with her hands placed over her head.
- 23 Apr 2025 - This comes just over a week after the four people pleaded guilty to smuggling 5,000 queen ants at the JKIA court.
- 23 Apr 2025 - Former Kiambu Governor Ferdinand Waititu, who is currently serving a prison sentence after being convicted on corruption-related charges, has been granted permission to amend his petition seeking release on bail.
- 23 Apr 2025 - They allege it is a scheme to corruptly hire senior officers at the expense of promoting qualified personnel.
- 23 Apr 2025 - Ruto argues that Council’s framework no longer aligns with today’s multipolar reality.