Serikali yashauriwa kuwawezesha vijana kumiliki ardhi ili waweze kujiajiri
Baadhi ya vijana wanaojihusisha na kilimo cha Kahawa nchini Tanzania wanasema bado wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ardhi ya kulima jambo linalowakwamisha kushiriki kikamilifu katika sekta ya kahawa
wameyasema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wan chi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kama anavyosema Peter Mzeya kijana Mkulima.
“Tungependa vijana wengi waingie kwenye uzalishaji wa kahawa, ingawa kuna changamoto kadhaa ambazo zinaweza kuwa juu ya uwezo wao. Serikali inapaswa kuziangalia, maana kabla hujaingia katika uzalishaji wa kahawa ni lazima umiliki ardhi. Hivyo, serikali iangalie ni jinsi gani vijana wanaweza kumiliki ardhi” amesema Mzeya
Mbali na changamoto ya ardhi vijana pia wanakabiliwa na vikwazo vya sera kanuni na mfumo wa fedha hali inayozuia ushiriki wao kikamilifu katika kuongeza thamani ya zao la kahawa.
Mkulima Mzeya alishiriki katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania.
Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania.
#mkulima #kijana #mjasiriamali #kilimo #kahawa #tanzania #voa #voaswahili #umilikiwaardhi #ajira #petermzeya
31 Mar 2025
- The publication claimed that there were reports of former Mungiki leader Maina Njenga's involvement in mobilisation efforts.
31 Mar 2025
- Wetangula advised that despite the order being made in the northern region, it affected all Kenyans.
31 Mar 2025
- The AU chair released a statement on Monday, days after Raila's attempts to mediate in the nation suffered a setback.
31 Mar 2025
- The advisory encourages citizens to stay informed by following local news and official alerts for updates on aftershocks and emergency response efforts.
31 Mar 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has asked President William Ruto to launch his new projects in the Mount Kenya region and stop what he calls riding on his predecessor Uhuru Kenyatta’s old projects.
31 Mar 2025
- The head of the junta in Burkina Faso has pardoned 21 soldiers convicted of involvement in a failed coup in 2015, according to an official decree seen by AFP on Monday.
31 Mar 2025
- He has continued to use social media for activism campaigns, particularly on human rights, even after the interdiction.
31 Mar 2025
- Implementation of the controversially amended union constitution has been suspended.
31 Mar 2025
- The publication claimed that there were reports of former Mungiki leader Maina Njenga's involvement in mobilisation efforts.
31 Mar 2025
- Police were out in force and businesses and offices closed in key Zimbabwe cities after authorities warned against demonstrations called for Monday to demand that President Emmerson Mnangagwa leave power.
31 Mar 2025
- Ruto's five-day tour of Mt Kenya development tour is expected to start on April 1.
31 Mar 2025
- Over the last four days, Gachagua has emerged into the political arena after weeks of a short break.
31 Mar 2025
- Wetangula advised that despite the order being made in the northern region, it affected all Kenyans.