Shambulizi la wanamgambo katika hoteli laua idadi ya watu isiyojulikana
Bomu la kwenye gari lilipuka Jumanne katika hoteli moja mjiniBeledweyne, katikati mwa Somalia, na kusababisha shambulizi lawanamgambo lililodumu kwa saa kadhaa na kuua idadiisiyojulikana ya watu.
Majeshi ya Somalia yaliendelea na juhudi za kuwafurushawashambuliaji Jumanne jioni baada ya mapigano makali.
Hoteli ya Cairo inatumiwa na viongozi wa kijadi na maafisa wajeshi ambao wanahusika na uratibu wa mashambulizi ya serikalidhidi ya kikundi cha wanamgambo wa al-Shabaab.
Kikundi cha al-Shabaab chenye uhusiano na al-Qaida kilidaikuhusika na shambulizi hilo.
Beledweyne, iko kiasi cha kilometa 335 kaskazini mwa mjimkuu, Mogadishu, ni mji mkuu wa mkoa wa Hiran na eneo lakimkakati katika kampeni inayoendelea dhidi ya al-Shabaab.(AP)
#somalia #alshabaab #voa
16 Apr 2025
- The new scam targets individuals seeking to register for SHA.
16 Apr 2025
- So far, Kenyan celebrities and social media influencers have jumped on the train of using the dental braces to lose weight.
16 Apr 2025
- The clarification followed allegations from former DP Gachagua, which caused public uproar.
17 Apr 2025
- President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
16 Apr 2025
- The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
16 Apr 2025
- The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
16 Apr 2025
- President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
16 Apr 2025
- The nominees for Principal Secretary (PS) positions will be sworn in tomorrow, Thursday, 17th April 2025, following their approval by Parliament.
16 Apr 2025
- Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
16 Apr 2025
- All the affected areas will not have power from 9am to 5pm.
16 Apr 2025
- Say she lacks deep understanding of gender-based-violence, women’s rights
16 Apr 2025
- With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.
16 Apr 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced a raft of measures aimed at enhancing service delivery the country’s health care sector. Speaking from parliament on Wednesday, April 16, 2025, Duale disclosed that the government will now ensure…