- 8 views
Shule katika kaunti ndogo ya Rabai kaunti ya Kilifi zinatarajiwa kunufaika na maji safi baada ya mbunge wa eneo hilo Anthony Kenga kufadhili uchimbaji wa visima vya maji kama njia moja ya kutatua tatizo la uhaba wa maji.Akizindua mradi wa uchimbaji kisima cha maji katika shule ya upili ya Canon Kuri, Kenga alisema kuwa uhaba wa maji katika eneo hilo umeathiri utoaji huduma hususan katika shule ambapo wasimamizi wa shule wanalazimika kununua maji kutoka sehemu za mbali na hivyo kutumia kiasi kukubwa cha fedha zilizotengewa shughuli za kimasomo. Aliahidi kuwa kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Kilifi atazindua miradi zaidi ya maji katika shule ambayo pia itawafaidi wakazi wa vijiji vilivyo karibu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shule na umma wanufaika Kilifi
- 25 Apr 2025 - President of Ukraine Volodymyr Zelenskyy arrived in South Africa on April 24, 2025, marking the first visit by a Ukrainian leader to African coun tries in the last ten years.
- 25 Apr 2025 - The Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga has come to the defense of Siaya Governor James Orengo following his controversial speech in Siaya two weeks ago.
- 25 Apr 2025 - Kenya and France have elevated their bilateral ties in the agricultural sector following a meeting between Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe and French Ambassador to Kenya Arnaud Suquet.
- 25 Apr 2025 - President William Ruto concluded his four-day State Visit to China with a tour of research institutions and cultural sites in Fujian Province on the south-east coast of the country.
- 25 Apr 2025 - The party cited exclusion from key government processes/ .
- 25 Apr 2025 - Alego Usonga Member of Parliament (MP) Sam Atandi has praised Raila Odinga for his input in the approval of the County Governments Additional Allocations Bill. The bill, advocating the better service delivery in the devolved units through additional…
- 25 Apr 2025 - The agreement raises hopes that the latest cycle of violence in a decades-long conflict.
- 25 Apr 2025 - Global Peace Foundations Kenya Country Director, Daniel Juma, Britam Holding CEO Tom Gitogo, KEPSA CEO Carole Karuga and Paul Russo of KCB bank are among 50 most influential CEOs in Kenya.
- 25 Apr 2025 - A Parliamentary Committee has raised concern over the increasing number of underage children being hired as herders in parts of Kilifi County.
- 25 Apr 2025 - The Legion of Maria Church has distanced itself from any affiliations with the controversial Melkio St. Joseph Mission of Messiah in Africa Church, which has come under public scrutiny for its contentious teachings and doctrines.