Somalia: Wanajeshi waimarisha doria wakati Trump aamuru IS kushambuliwa
Kwa takriban mwezi mmoja, Majeshi ya Ulinzi ya Puntland wameripotiwa kusonga mbele kufikia maficho ya wapiganaji wa Islamic State katika ukanda huo, huku kikiwa na mapigano makali hivi karibuni huko Turmasaale, eneo la kimkakati. Licha ya vifo kwa pande zote mbili, wanajeshi wa Puntland wamepiga hatua kubwa, wakikamata maeneo muhimu kadhaa.
Siku ya Jumamosi (Februari 1) Rais wa Marekani Donald Trump alisema aliamuru mashambulizi ya kijeshi kumlenga mpangaji mkuu wa mashambulizi ya Islamic State na wengine kutoka katika jumuiya hiyo nchini Somalia.
Waziri wa Ulinzi Pete Hegseth alisema mashambulizi yalifanywa katika eneo la milima ya Golis na hakuna raia aliyedhurika.
Reuters haikuweza kuthibitisha maelezo hayo.
Afisa mmoja wa ofisi ya rais Somalia, akitaka jina lake lisitajwe, alithibitisha mashambuliz hayo na kusema serikali ya Somalia imeipokea hatua hiyo.
Marekani katika vipindi tofauti imefanya mashambulizi ya anga nchini Somalia kwa miaka kadhaa, chini ya utawala wa Warepublikan na Wademokratik.
(Reuters)
#somalia #is #isis #voa
4 Feb 2025
- The plan had previously been suspended after Kenyans raised concerns.
4 Feb 2025
- High Court had initially ordered NTSA to release all impounded matatus.
4 Feb 2025
- The move comes after members of the county government were arrested for stealing medical supplies.
5 Feb 2025
- The European Union wants to engage swiftly with the United States over President Donald Trump's planned tariffs, trade chief Maros Sefcovic said on Tuesday, while his boss Ursula von der Leyen stressed the bloc would protect its interests in negotiations.
5 Feb 2025
- KMPDU has formally announced a strike by doctors at MTRH following what it terms as collapsed talks.
5 Feb 2025
- The government is taking decisive action to eradicate insecurity in the North Eastern region of Kenya, President William Ruto has said.
5 Feb 2025
- Five people were shot and wounded at a school in the central Swedish city of Orebro on Tuesday, police said, urging the public to stay away from the area as a large operation was underway.
5 Feb 2025
- Over 2,000 bodies require burial in Goma after Rwanda-backed M23 rebels took over the Democratic of Congo city last week, inflaming a decade-old conflict and humanitarian crisis, Congo's communications minister Patrick Muyaya said late on Monday.
5 Feb 2025
- Over 700 cases of maladministration by the judiciary have been reported in the last 5 years, with 60 percent of those cases yet to be resolved.
5 Feb 2025
- Heavily armed gangs in Haiti have attacked a neighborhood that's home to most of the country's elite and had been largely untouched by criminals, and police have demanded help repelling the assault that has killed at least 40 people.
4 Feb 2025
- The family of 19-year-old Elvis Munene is pleading with the government to help find their son after he went missing on January 29, under mysterious circumstances.
4 Feb 2025
- President William Ruto has pledged to bring back the five chiefs who were abducted by suspected Al-Shabaab militia on Monday in Mandera County, saying the country will not cede an inch to criminals.
4 Feb 2025
- He further alleged that MPs were given Sh500,000 each, while senators received Sh10 million to support his removal from office.