- 426 viewsAkizungumza na Sauti ya Amerika, Nicholaus Kaserwa, Afisa Mwandamizi wa Uendeshaji Biashara wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), alisema kuwa mfumo huo wa kidijitali umeanzishwa na serikali kwa lengo la kurahisisha ununuzi na uuzaji wa madini. "Katika sekta ya madini, maboresho yanakuja kupitia mnada wa mtandao. Madini yanachambuliwa, kuwekwa kwenye mafungu ya lot, na kutengeneza katalogi ambayo inawasilishwa kwa wanunuzi. Wanunuzi huipitia, kuchagua wanachotaka kuona, na hatimaye kuweka bei zao kupitia mfumo wa kidijitali," alisema Kaserwa. #tanzania #mfumo #kidigitali #madini #ununuzi #uuzaji #sokolabidhaa #nicholauskaserwa #mererani #manyara #mkoa #voa #voaswahili
Tanzania yaanzisha mfumo wa kidigitali katika sekta ya madini
- - Ulimwengu wa Soka ››
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 12 Apr 2025 - The Ministry of Interior is raising the alarm over the increasing incidents of gender-based violence in Taita Taveta.
- 12 Apr 2025 - A section of Narok leaders now say they will oppose the construction of a proposed international airport on land allegedly linked to former President Uhuru Kenyatta in Maasai Mara.
- 12 Apr 2025 - Ruto said Prof Macharia will serve in the role for the next five years.
- 12 Apr 2025 - Throughout the week, Kindiki held minimal activities, only attending to select government business.
- 12 Apr 2025 - Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
- 12 Apr 2025 - The Member of County Assembly died after a short illness.
- 12 Apr 2025 - The council members have been moved to serve in same capacity in other universities till May 2026.
- 12 Apr 2025 - Irene Wambua Mbithe, a woman from Machakos County who lost her eye to a hyena attack, has successfully undergone the first process of artificial eye surgery transplant at Lions' Firstsight Eye Hospital.
- 12 Apr 2025 - The Siaya Senator warned that removal of President before the conclusion of his term will only result to anarchy and chaos in the country.
- 12 Apr 2025 - Trump replaces Obama portrait with painting of... himself