Tazama watu wakikimbia na vitu vikianguka wakati tetemeko la ardhi likipiga katika eneo la Tibet huko nchini China.
Waokoaji wanaendelea kutafuta walioathirika na tetemeko hilo huku kukiwa na hofu kwamba halijoto ya usiku inaweza kushuka hadi -18C (17F).
Takriban watu 95 wamethibitishwa kufariki na wengine 130 kujeruhiwa huku zaidi ya majengo 1,000 yameharibiwa.
Tetemeko lilikuwa na ukubwa wa 7.1 na kina cha kilomita 10 (maili sita), kwa mujibu wa data kutoka kituo cha Utafiti wa Jiolojia Marekani.
#bbcswahili #china #tibet
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
20 Apr 2025
- A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
20 Apr 2025
- At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
20 Apr 2025
- The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
20 Apr 2025
- Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
20 Apr 2025
- Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.