- 50 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Tunisia kufanya uchaguzi Jumapili | VOA Swahili
- 5 Oct 2024 - Argentine prosecutors on Friday recommended the dismissal of rape charges brought against two French international rugby players accused of assaulting a woman after a night out following a match.
- 5 Oct 2024 - Tunisia's election on Sunday pits President Kais Saied, who rights groups say has removed most democratic checks on his power, against a candidate who was suddenly jailed last month and another who heads a minor political party.
- 5 Oct 2024 - KUCO has hit out at SHA for locking out facilities accredited by the Clinical Officers Council from offering healthcare services under the new scheme.
- 5 Oct 2024 - The Ministry of Education, through the Kenya National Examinations Council (KNEC), has introduced new examination rules as it officially launched this year’s examinations and assessments session.
- 5 Oct 2024 - The Ministry of Health now says the Social Health Authority (SHA) claims system is fully operational, as it noted that over 12.6 million Kenyans have since registered into the new medical scheme.
- 4 Oct 2024 - The 2024/2025 FKF Women’s premier league kicks off this weekend with defending champions Kenya Police bullets raring to stamp their status against newcomers KISPED at the Police sacco stadium . Kenya Police bullets won their maiden title last season when…
- 4 Oct 2024 - EACC has revealed seven ways through which counties are promoting payroll fraud, leading to bloated and unsustainable wage bills in the country.
- 4 Oct 2024 - Rwanda is battling its first-ever outbreak of the deadly Marburg virus, with 36 cases reported so far and 11 deaths.
- 4 Oct 2024 - The public participation exercise on Deputy President Rigathi Gachagua's impeachment motion kicked off on Friday, with a section of Kenyans calling for President William Ruto to also vacate office.
- 4 Oct 2024 - An impasse looms after the Senate overturned Sh380 billion proposed shareable revenue to counties approved by the National Assembly.