- 23 views
Wawakillishi wadi wa kaunti ya Isiolo wameshutumu kisa ambapo mwakilishi wa wadi ya Burat Nicholas Lorot, anadaiwa kushambuliwa siku ya Jumatano mjini Isiolo. wakiongozwa na spika wa bunge la kaunti hiyo Mohamed Roba Qoto, wawakilishi wadi hao walielezea kutoridhishwa na kisa hicho wakisema kinaashiri kudorora kwa usalama katika eneo hilo. Roba alisema utekelezaji kikamilifu wa sheria utaweza kuwafichua watekelezaji wa uhalifu huo na kiini chake. Wakazi wa Isiolo wamehimizwa kujiepusha kueneza uvumi kuhusu kisa hicho na kuwapasha habari maafisa wa usalama iwapo wana taarifa itakayofanikisha kukamatwa kwa wahusika .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Uhalifu isiolo : Shambulizi dhidi ya MCA lalaaniwa
- 31 Mar 2025 - Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe says over 180,000 bags of fertiliser are being absorbed daily at National Cereals and Produce Board (NCPB) stores and last-mile outlets countrywide.
- 31 Mar 2025 - U.S. President Donald Trump threatened Iran on Sunday with bombing and secondary tariffs if Tehran did not come to an agreement with Washington over its nuclear program.
- 31 Mar 2025 - Deputy Chief of Staff in the office of the President, Eliud Owalo, now says that the government is on the right track in service delivery.
- 31 Mar 2025 - A 17th-century painting looted by the Nazis in 1940 from a Jewish art collector in Belgium will be returned to his descendants after spending three decades in a London gallery, the British government said on Saturday.
- 31 Mar 2025 - The advantage of numbers and energy ought to be consolidated through a leadership.
- 31 Mar 2025 - Sudanese army chief Abdel Fattah al-Burhan ruled out any reconciliation with the paramilitary Rapid Support Forces in a video statement on Saturday in which he vowed to crush the group.
- 31 Mar 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen now says drugs and poor parenting are to blame for the increased hostility in online spaces.
- 31 Mar 2025 - It's another Rai derby in Kenya Cup final and Enterprise Cup
- 31 Mar 2025 - Can St Anthony Kitale end their title drought at KSSSA hockey nationals?
- 31 Mar 2025 - Namuye and Khoi win in Nyali Club