Skip to main content
Skip to main content

Ukosefu wa fedha wakwamisha shughuli za utafiti Kajiado

  • | Citizen TV
    737 views
    Duration: 3:16
    Ukosefu wa fedha za kufanikisha utafiti kwenye vyuo vikuu mbali mbali nchini umetajwa kama changamoto kubwa inayolemaza juhudi za waatalam kuendeleza utafiti kuhusu masuala mbali mbali. Wakizungumza huko Kajiado watalamu wanasema licha ya uwezo wao na ujuzi wa kuendeleza utafiti ambao unalenga kuleta suluhu ya changamoto mbali mbali, ufadhili wa kuwezesha utafiti huo ndio kikwazo kikubwa.