- 4 views
Ukosefu wa wakalimani wa wa lugha ya ishara na vifaa vya mawasiliano vimekuwa kizingiti kikubwa kwa watu walio na matatizo ya kusikia wakitafuta huduma muhimu katika hospitali na vituo vya polis. Jacob Ireri Mbao ambaye ni afisa mkuu wa chama cha watu walio na matatizo ya kusikia humu nchini amesema wahudumu wa afya hawana wakalimani wenye ujuzi wa kutafsiri lugha ya ishara na hivyo suala hilo ni changamoto kwa wagonjwa walio na matatizo ya kusikia wanapotafuta matibabu. Pia polisi hawana ufahamu kuhusu mahitaji ya kipekee ya watu hao wanapoandika ripoti au kuchukua hatua za sheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ukosefu wa wakalimani wa lugha ya ishara watatiza matibabu
- 4 Feb 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua says he was not involved in last year’s June-July anti-government protests led by the youth.
- 4 Feb 2025 - Lung cancer is the commonest form of the disease, with 2.5 million people diagnosed in 2022, said the study, published in the Lancet Respiratory Medicine journal on World Cancer Day.
- 4 Feb 2025 - A 30-year-old artisanal miner died and another one seriously injured after a gold mining shaft collapsed in Gobei area, Bondo sub-county last evening.
- 4 Feb 2025 - Kenyans seeking employment opportunities abroad have been urged to exercise due diligence. The Ministry of Foreign and Diaspora Affairs cautioned Kenyans against falling prey to fraudsters.
- 4 Feb 2025 - Detectives have arrested five suspects tied to a gold scandal that defrauded two foreign businessmen of USD 120,000 (approximately Ksh. 15.5 million).
- 4 Feb 2025 - The area's police commander confirmed the crash that occurred along the busy highway near Limuru.
- 4 Feb 2025 - This follows months of differing utterances from politicians allied to the long-running opposition party.
- 4 Feb 2025 - Two foreign nationals allegedly made full payment for gold, only to be taken in circles thereafter.
- 4 Feb 2025 - The Central Organization of Trade Unions-Kenya (COTU-K) boss has spoken out over the doubled NSSF contributions that directly impact Kenyan workers.
- 4 Feb 2025 - He also made public documents with details of the Kenya Kwanza Alliance agreement by posting them on social media.