- 287 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Umuhumu wa Mama kumnyonyesha mtoto maziwa ya kifuani | VOA Swahili
- 25 Oct 2024 - Cabinet Secretary for Public Service and Human Capital Development Justin Muturi has called on Kenyans to collect their identification documents, as thousands remain unclaimed nationwide.
- 25 Oct 2024 - Detectives have recovered a motor vehicle believed to have been used in the abduction and subsequent murder of three family members who went missing from Eastleigh before their bodies were found.
- 25 Oct 2024 - The three-judge bench hearing the case challenging the impeachment of Rigathi Gachagua as Deputy President is expected to rule on Friday whether to grant or dismiss Gachagua’s application requesting the judges to disqualify themselves from the case.
- 25 Oct 2024 - Police are piecing together the last movements of slain Wells Fargo HR Manager Willis Ayieko, whose mutilated body was found dumped at the Mungowere stream in Siaya County on Wednesday.
- 25 Oct 2024 - The Ministry of Education has been challenged to fully enact the Competency-Based Curriculum (CBC) policy to ensure that learners receive the full benefits of the education system.
- 24 Oct 2024 - The shift from the defunct National Health Insurance Fund to the new Social Health Authority continues to face challenges, with patients being asked to pay out of pocket due to the new digital system and lack of funds in hospitals.
- 24 Oct 2024 - The National Police Service has raised concerns over a slight but disturbing increase in murder cases in the past two months, with 339 cases reported from August to October 2024. This figure marks a marginal rise from 336 in 2023 and a slight decrease…
- 24 Oct 2024 - Of the 541 children affected by polio globally in 2023, 85 per cent live in the 31 fragile, conflict-affected, and vulnerable countries, according to a new UNICEF analysis on World Polio Day.
- 24 Oct 2024 - The recent repatriation of four Turkish nationals has ignited heated debate, with various non-governmental organizations condemning the move as undiplomatic. The controversy follows a statement by Principal Secretary for Foreign Affairs, Dr. Korir Sing’…
- 24 Oct 2024 - The recent repatriation of four Turkish nationals has ignited heated debate, with various non-governmental organizations condemning the move as undiplomatic. The controversy follows a statement by Principal Secretary for Foreign Affairs, Dr. Korir Sing’…