“Itakuwa makosa kueneza propaganda kabla ya uchunguzi. Hatutafanya hivyo, na hakuna mtu anayeweza kufanya hivyo. Tunahitaji kusubiri uchunguzi ukamilike.”
Urusi yaonya dhidi ya “propaganda” zinazoenezwa kuhusu ajali ya ndege ya Azerbaijan iliyotokea siku ya krismasi na kuua watu 38 nchini Kazakhstan.
Baada ya picha na video ya mabaki ya ndege hiyo kusambaa mitandaoni baadhi ya wataalamu wa anga walisema kuwa ndege hiyo ya Azerbaijan Airlines huenda ilipigwa na mifumo ya ulinzi wa anga ya juu ya jimbo la Chechnya nchini Urusi na vyombo vya habari vya serikali vya Azerbaijan vilinukuu maafisa wakisema kombora la Urusi lilihusika.
#bbcswahili #urusi #kazakhstan
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
20 Apr 2025
- A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
20 Apr 2025
- At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
20 Apr 2025
- The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
20 Apr 2025
- Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
20 Apr 2025
- Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.