- 12 views
Takriban vifo kumi na viwili vinavyohusiana na mafuriko vimeripotiwa kote nchini tangu kuanza kwa mvua ya vuli inayoshuhudiwa hapa nchini kwa sasa. Katibu katika wizara ya usalama wa taifa Raymond Omollo amesema zaidi ya familia 3,900 zimeachwa bila makazi. Kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Wycliffe Oketch, katibu Omollo alipongeza juhudi za msaada zilizoongozwa na shirika la msalaba mwekundu lakini akahimiza msaada zaidi wa kibinadamu kutoka kwa wahisani ili kuwasaidia walioathirika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Vifo vya watu-12 vyanakiliwa kote nchini kutokana na mafuriko
- 5 Feb 2025 - A decision by United States president Donald Trump to cut foreign aid funding has left Kenya at risk of lacking financial ability to run crucial health programmes.
- 5 Feb 2025 - Dias Jumba Wabwire allegedly raped a patient undergoing dialysis at the facility on January 31, 2025.
- 5 Feb 2025 - The official responsible for playing the wrong national anthem during Kenya’s match at the FIBA Women’s AfroBasket 2025 Qualifiers has been fired.
- 5 Feb 2025 - Trump plans to effectively dismantle the agency as an independent entity.
- 5 Feb 2025 - This comes just two weeks after the Cabinet approved the merging of 42 state corporations into 20 entities.
- 5 Feb 2025 - "Engaging effectively here means opening doors for Kenya’s growth and attracting investments"
- 5 Feb 2025 - EACC spokesperson Eric Ngumbi confirmed that KA’galo was apprehended on Tuesday at his rural home in Oyugis.
- 5 Feb 2025 - Mining CS Hassan Joho said the containers were set for export to China.
- 5 Feb 2025 - Harambee Starlets head coach Beldine Odemba has named a 36-player provisional squad for the upcoming two-legged 2026 WAFCON qualifiers against Tunisia.
- 5 Feb 2025 - The latest announcement follows the ongoing registration of the 2025 KCSE cohort.