Skip to main content
Skip to main content

Vijana wahimizwa kujifunza matumizi ya akiliunde (AI)

  • | Citizen TV
    210 views
    Duration: 1:43
    Kenya ni miongoni mwa maeneo yanayolengwa zaidi na upanuzi wa mfumo wa teknolojia wa AI kupitia mashirika tofauti, hali ambayo inaweza kubadilisha soko la ajira ifikapo mwaka 2030 , hasa katika ajira za huduma kwa wateja, uhasibu na biashara rejareja.