- 143 views
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Nyamira wanawashauri wakazi kuwa waangalifu wakati huu ambapo mafuriko yanashuhudiwa nchini ili kujiepusha na visa vya kusombwa na maji. Kwenye mazishi ya mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu cha Maasai Mara aliyesombwa na mafuriko Narok, viongozi hao walihimiza serikali kuendelea kuahirisha shughuli za masomo nchini hadi pale mafuriko yakatapokwisha. viongozi hao wamesema kuw ausalama wa wanafunzi, walimu na wafanyikazi shuleni ni muhimu zaidi na kuwa kuahirishwa kwa ufunguzi wa shule kutasaidia kuziia maafa yanayotokana na mafuriko. Esther Kerubo alisombwa na maji alipokuwa akivuka mto Inkare.
Viongozi Nyamira wahimiza uangalifu
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - The visit is primed with symbolic significance.
- 19 May 2024 - "I believe he won a few of the rounds, but I won the majority," a defiant Fury said in the ring.
- 19 May 2024 - He reminded political leaders to shun using blackmail as a way to survive in politics
- 19 May 2024 - Nothing delights of our politicians more than a good disaster photo op
- 19 May 2024 - Office of retired president crippled with budget freezes that Uhuru's staff attribute to politics of retribution.
- 19 May 2024 - Experts call on government to focus on growing the GDP.
- 19 May 2024 - Ruto calls for planting 15 billion trees by 2032 to rehabilitate forests, improve the climate, limit floods and landslides and give us shade.
- 19 May 2024 - Neither side is backing down now but a peace treaty between the two countries may not be as ‘impossible’ as it may now seem.
- 19 May 2024 - It’s not for KDF to fight bandits or intervene in clan violence, risking loss of prestige and if it struggles at home, foreign enemies gloat.
- 19 May 2024 - Once you are elected, the Constitution almost expects you to cease to be a Kikuyu but the DP of all the people.