Skip to main content
Skip to main content

Viongozi waitaka serikali iimarishe usalama katika shughuli za uchimbaji wa mafuta kaunti ya Turkana

  • | Citizen TV
    193 views
    Duration: 1:57
    Huku shughuli za uchimbaji wa mafuta katika Kaunti ya Turkana zikitarajiwa kuanza rasmi, baadhi ya viongozi wamejitokeza na kupinga hatua hiyo wakitaka serikali ijenge barabara ya Lami kutoka Lokichar kwenda Lokori na Kapedo hadi Chemolingot kabla ya shughuli hiyo kuanza rasmi.