- 23 views
Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu uwekezaji wa umma, masuala ya biashara na kawi imeagiza halmashauri ya viwanja vya ndege kusitisha mkataba baina ya serikali na kampuni ya Adani wa kuboresha uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta kusubiri ripoti ya mhasibu mkuu. Ripoti ya ukaguzi ya mhasibu mkuu inatarajiwa kutolewa katika muda wa majuma mawili. Kamati hiyo inatahadharisha kwamba afisa yeyote atakayekiuka agizo hilo na kutekeleza mkataba huo atawajibishwa kibinafsi. Ripota wetu Abdiaziz Hashim ana maelezo zaidi kuhusu sakata hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wabunge wataka mkataba wa Adani ukaguliwe upya
- 25 Sep 2024 - Burkina Faso's junta said it had uncovered an international plot to overthrow it and which included the massacre in August of hundreds of civilians by Islamist insurgents.
- 25 Sep 2024 - A new global Gallup poll released Tuesday shows South Africa is one of the countries where citizens feel the least safe walking alone.
- 25 Sep 2024 - Having slipped undetected into Mali's capital weeks ago, the jihadis struck just before dawn prayers.
- 25 Sep 2024 - University students who have complaints about the current university funding model will have to wait a little longer for their appeals to be heard and their banding corrected where necessary, Education Cabinet Secretary Julius Migos has announced.
- 25 Sep 2024 - Police in Gatundu South, Kiambu County, are investigating an incident where a medical intern is reported to have died by suicide on Sunday, September 22, 2024.
- 24 Sep 2024 - Kenyan publishers are now urging the government to remove the 16 per cent Value Added Tax (VAT) on books.
- 24 Sep 2024 - The Ministry of Health has reported another confirmed case of Mpox in Kajiado County, raising the national total to seven.
- 24 Sep 2024 - The ghost of public participation in the law-making process has come to haunt the Kenya Kwanza government again.
- 24 Sep 2024 - The Ministry of Environment, Climate Change, and Forestry has issued a public notice inviting comments on a newly proposed Environmental Restoration Fee.
- 24 Sep 2024 - Boost for local firms as Nairobi bourse joins UK flagship scheme