- 132 views
Wahudumu wa bodaboda katika kaunti ya Kwale wametakiwa kutojihusisha na visa vya uhalifu na kuripoti kwa maafisa wa polisi washukiwa wa uhalifu miongoni mwao. Mwenyekiti wa muungano wa bodaboda nchini (BAK) Kevin Mubadi amewataka wanabodaboda kushirikiana na vitengo vya usalama kwa kutoa taarifa kuhusu vijana wanaotumia pikipiki kuhangaisha wenyeji kwa mapanga. Akizungumza wakati wa uchaguzi wa muungano huo ambapo Mahmoud Rajab amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kwale, Mubadi amesema wataendelea kuleta mabadiliko ya kufaa sekta ya bodaboda nchini.
Wahudumu wa bodaboda kaunmti ya Kwale watakiwa kutojihusisha na uhalifu
- 17 Apr 2025 - President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
- 16 Apr 2025 - The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
- 16 Apr 2025 - The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
- 16 Apr 2025 - Ruku and Cheptumo are expected to be sworn into office on Thursday,
- 16 Apr 2025 - Ruku and Cheptumo are expected to be sworn into office on Thursday,
- 16 Apr 2025 - President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
- 16 Apr 2025 - All the affected areas will not have power from 9am to 5pm.
- 16 Apr 2025 - The nominees for Principal Secretary (PS) positions will be sworn in tomorrow, Thursday, 17th April 2025, following their approval by Parliament.
- 16 Apr 2025 - Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
- 16 Apr 2025 - With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.