- 426 views
Wakaazi wa mji sz Narok wana hofu kutokana na visa vya mauaji huku ikidaiwa kuwa takriban watu kumi na wanne wakiripotiwa kuuwawa katika kipindi cha wiki mbili. wakazi wanataka usalama kuimarishwa na maafisa zaidi wa usalama kutumwa eneo hilo. katika kisa cha hivi punde, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 48 alishambuliwa na genge la wahalifu na kupigwa hadi kufa. aidha wameitaka serikali kuwasajili wakazi kupitia kwa wazee wa nyumba kumi ili kuwatambua wahalifu. aidha wakazi wanapendekeza kafyu ili kuzuia mauwaji zaidi na kuwanasa wahalifu.
Wakaazi wa Narok walalamikia mauaji
- 30 Sep 2024 - The organisations described the attack as a serious violation of human rights and an affront to free expression.
- 30 Sep 2024 - Awendo Member of Parliament Walter Owino and his Nyatike counterpart Tom Odege have supported the looming impeachment motion against Deputy President Rigathi Gachagua.
- 30 Sep 2024 - Former Bahati MP Kimani Ngunjiri has faulted the church for failing to intervene in the ongoing feud between President William Ruto and his Deputy Rigathi Gachagua.
- 30 Sep 2024 - Jeremiah Kioni and David Murathe to fully takeover the party
- 30 Sep 2024 - The activist has been making trips to expose stalled projects launched by the government.
- 30 Sep 2024 - The governor was linked to an explosive case involving the abuse of a blogger.
- 30 Sep 2024 - Unitel was granted a worldwide freezing order over dos Santos' assets in
- 30 Sep 2024 - George Makori and Ashley Awuor emerged winners of the division in their respective categories during the NCBA Golf series leg at the Royal Nairobi Golf Club. Over 250 players turned out at the par 72 course to battle for the chance to qualify for the…
- 30 Sep 2024 - The embattled deputy president is accused of violating numerous laws among them, International Law.
- 30 Sep 2024 - There's more to JKIA-Adani saga than the money