- 87 viewsIdadi kubwa ya droni zisizotambuliwa zimeripotiwa kuruka katika maeneo ya New Jersey na East Coast katika wiki za karibuni, ikizua wasiwasi na dhana juu ya nani na kwa nini zinatumwa huko. Darzeni ya walioshuhudia wameripoti kuziona droni hizo huko New Jersey tangu mwezi Novemba. Hapo awali, droni hizo zilionekana zikiruka katika upeo wa Mto Raritan, mkondo wa maji unaoelekea katika hifadhi ya maji ya Round Valley, ni mwamba unaohifadhi maji ya jimbo hilo, umbali wa kiasi cha kilometa 80 magharibi mwa Jiji la New York. Lakini mara droni hizo ziliripotiwa kuonekana katika jimbo lote, ikiwemo karibu na Picatinny Arsenal, kituo cha jeshi la Marekani cha utafiti na utengenezaji, na juu ya eneo la uwanja wa golf wa Rais-mteule Donald Trump huko Bedminster. Ndege hizo pia hivi karibuni zilionekana katika maeneo ya pwani. Idara ya Upelelezi (FBI) ni kati ya mashirika kadhaa yanayofanya uchunguzi na wamewataka wakazi kutuma video, picha na taarifa nyingine walizonazo kuhusu droni hizo. - AP #newjersey #drones #us #voa
Wakaazi wa New Jersey washuhudia droni zisizojulikana
- - Ulimwengu wa Soka ››
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 12 Apr 2025 - The Ministry of Interior is raising the alarm over the increasing incidents of gender-based violence in Taita Taveta.
- 12 Apr 2025 - A section of Narok leaders now say they will oppose the construction of a proposed international airport on land allegedly linked to former President Uhuru Kenyatta in Maasai Mara.
- 12 Apr 2025 - Ruto said Prof Macharia will serve in the role for the next five years.
- 12 Apr 2025 - Throughout the week, Kindiki held minimal activities, only attending to select government business.
- 12 Apr 2025 - Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
- 12 Apr 2025 - The Member of County Assembly died after a short illness.
- 12 Apr 2025 - Irene Wambua Mbithe, a woman from Machakos County who lost her eye to a hyena attack, has successfully undergone the first process of artificial eye surgery transplant at Lions' Firstsight Eye Hospital.
- 12 Apr 2025 - The Siaya Senator warned that removal of President before the conclusion of his term will only result to anarchy and chaos in the country.
- 12 Apr 2025 - Another blow to contractor of demolished 11-storey building
- 12 Apr 2025 - Trump replaces Obama portrait with painting of... himself