Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Samburu walalamikia kukwama kwa ujenzi wa afisi za ardhi kwa zaidi ya miaka 4

  • | KBC Video
    14 views
    Duration: 1:58
    Wakazi wa Kaunti ya Samburu, wamelalamikia kukwama kwa ujenzi wa Afisi za ardhi katika eneo hilo Kwa zaidi ya miaka minne sasa, hali ambayo imezidi kuwaponza wakilazimika kusafiri mwendo mrefu hadi mjini Nyahururu katika kaunti jirani ya Laikipia kusaka huduma hizo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive