Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Bonde la ufa wamehimizwa kusalimisha silaha haramu

  • | Citizen TV
    251 views
    Duration: 2:01
    Wakazi wa eneo la North Rift ambao wanamiliki Bunduki haramu wametakiwa kurejesha silaha hizo kabla ya muda wa msamaha uliotangazwa na serikali kukamilika. Naibu Kamishna wa Kaunti ya Mukutani, Mike Wangila, amesema machifu wanashirikiana na wananchi kutoa hamasisho ya kurejesha silaha kwa hiari.