Skip to main content
Skip to main content

Wakulima kutoka Machakos wasema wamepuuzwa kwenye kongamano kuhusu mabadiliko ya tabianchi Brazil

  • | Citizen TV
    326 views
    Duration: 2:04
    Kadri mazungumzo ya kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi yanavyoendelea mjini Belém, Brazil, wakulima wadogo eneo la Muvuti, Kaunti ya Machakos, wanasema sauti zao zinatengwa licha ya wao kuwa miongoni mwa wanaoathirika zaidi na janga hili.