Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa chai kutoka Nandi wataka mbinu ya zamani ya kuonja chai ibadilishwe

  • | Citizen TV
    149 views
    Duration: 2:03
    Baadhi ya viongozi wa Nandi wameitaka Mamlaka ya Mazao ya Chai Nchini (KTDA) kuanzisha mbinu za kisasa za kisayansi katika upimaji wa ubora wa chai kwenye mnada, wakisema mfumo wa zamani wa kuonja chai hauna uwazi na kwamba unawanyanyasa wakulima.