- 712 views
Idadi ya watu waliofariki katika mkasa wa mafuriko Mai Mahiu imefikia watu sitini baada ya miili mingine miwili kuondolewa kwenye matope wiki moja tangu maporomoko kutokea. Kamishna wa kaunti ya Nakuru Loyford Kibaara amesema kuwa watu 23 kati ya 112 waliokuwa hospitalini wanaendelea kutibiwa huku shughuli ya kuwasaidia wakaazi walioathirika ikiendelea. watu 30 bado wanatafutwa huku maafisa wa kijeshi na wale wa Huduma kwa taifa -NYS- wakiendelea kushirikiana katika shughuli hiyo. Kibaara pia anasema kuwa juhudi zaidi zinafanywa ikiwemo kufuata mkondo wa maji ambao sasa umefikia kilomita sitini kuelekea katika kaunti jirani ya Narok. Ibada ya wafuu inatarajiwa kufanyika siku ya Alhamisi.
Waliofariki kwenye mafuriko mai mahiu wafikia 60
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Witnesses said the strike occurred around 3:00 am local time. The Israeli army said it was checking the report.
- 19 May 2024 - Kiharu Member of Parliament and Chairman of the Budget Committee Ndindi Nyoro has reassured Kenyans that their views will be thoroughly considered before the implementation of the 2024-2025 Finance Bill.
- 19 May 2024 - Three employees of the Sports, Arts and Social Development Funds (SASDF) were on Friday arraigned at the Milimani Law Courts for using fake academic credentials to secure employment within the public service.
- 19 May 2024 - According to police reports, Mr. Lang'at Kosgey, the area assistant chief of Seretunin Sub-location, reported the murder to the station.
- 19 May 2024 - Two Nigerian nationals and a Kenyan woman have been apprehended by officers from the anti-narcotic unit on suspicions of engaging in cocaine, heroin and Methamphetamine trafficking.
- 19 May 2024 - At about 10:30 a.m., a Washtenaw County Sheriff's deputy responded to a welfare check in the 1300 block of W. Warner Street after the woman's family reported not hearing from her for several days.
- 19 May 2024 - The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
- 19 May 2024 - Some Canadian provinces have logged a jump in unclaimed dead bodies in recent years, with next of kin citing funeral costs as a growing reason for not collecting loved ones' remains.
- 19 May 2024 - The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
- 19 May 2024 - Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.