- 1,704 viewsMnamo Juni 25, 2024, damu ilimwagika katika Bunge la Kenya. Siku hiyo, maelfu ya waandamanaji walielekea bungeni ili kusitisha muswada wa fedha #FinanceBill2024 kupitishwa kuwa sheria. Njiani walikutana na mabomu ya machozi, virungu, na hata milio ya risasi. Walipofika huko, na kulivamia bunge, baadhi ya milio ya risasi hiyo ikageuka kuwa hatari zaidi Takriban watu watatu waliuawa: mwanafunzi, muuza duka, na mwalimu. Tangu wakati huo, hakuna mtu aliyeshikiliwa kuwajibika kwa vifo vyao. Sasa, #BBCAfricaEye inawafichua walisababisha damu kumwagika nje ya viwanja vya Bunge Kenya. #bbcswahili #financebill #financebill202 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Waliua vijana bungeni Kenya wafichuliwa
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 28 Apr 2025 - Political leaders say residents need to protect themselves against rising cases of cattle rustling.
- 28 Apr 2025 - TSC, SHA clash over teachers' health cover amid limited access to services
- 28 Apr 2025 - They carry our pain, cry when no one sees, but who takes care of caregivers?
- 28 Apr 2025 - NSSF's plan to pay pension dues in a day signals relief for retirees
- 28 Apr 2025 - Ruto's remarks on roads levy cash spark stormy devolution debate
- 28 Apr 2025 - The Religious Organisations Bill 2024 was never published because of the vested Church interests.
- 28 Apr 2025 - Nakuru Level Five Hospital reeling from burden of increasing numbers of patients.
- 28 Apr 2025 - Former UDA Secretary General Cleophas Malala has sensationally placed President William Rutos party at the centre of a multi-million-shilling tax evasion scandal involving unremitted taxes.
- 28 Apr 2025 - Kenyan police officers expected back home in June after a one-year stay in Haiti.
- 28 Apr 2025 - UDA has ghost workers on State payroll, former SG Malala claims