Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi waliotaabika kufika shuleni Taita Taveta wapewa baiskeli

  • | Citizen TV
    178 views
    Duration: 2:59
    Umbali wa shule za msingi eneo bunge la Voi kaunti ya Taita Taveta umetajwa kuchangia matokeo duni kwani wanafunzi huchelewa wanapoenda shuleni kukata kiu ya masomo. Hata hivyo, wanafunzi wa shule ya msingi ya Sowa huko Saghalla wamepata afueni baada ya wahisani kuanzisha mradi wa kuwapa baiskeli ili wafike shuleni kwa wakati unaofaa.