- 2,465 views
Kikao cha mahakama cha kusikiza kutimuliwa kwa gavana wa meru kawira mwangaza zimetatizwa baada ya wananchi waliokuwa wakifuatilia kesi hiyo kwa njia ya mtandao kutuma jumbe nyingi na kutatiza. Jaji Bahati Mwamuye aliagiza idadi ya watu wanaohudhuria kesi hiyo kupitia mtandao idhibitiwe ili nidhamu ya mahakama izingatiwe. mahakama imeruhusu kujumuishwa kwa baraza la magavana, FIDA na mpigakura mmoja kutoka kaunti ya Meru katika kesi hiyo. wahusika wametakiwa kuwasilisha stakabadhi na hatikiapo katika siku saba zijazo huku kesi ikipangiwa kuanza tarehe 8 oktoba. gavana Kawira Mwangaza anapinga uamuzi wa bunge la seneti lililoafikia kumwondoa ofisini baada ya bunge la kaunti ya meru kufanya hivyo.
Wananchi watatiza kesi ya kutimuliwa kwa gavana Mwangaza mtandaoni
- 25 Sep 2024 - According to the report, which is based on extensive research and interviews, six people were killed and 72 were either abducted or remain missing as a result of the protest, which was met with harsh police response.
- 25 Sep 2024 - A man was on Tuesday arrested allegedly demanding a Ksh.100,000 bribe while posing as a Nairobi County Government official.
- 25 Sep 2024 - Despite the court’s decision, the JKIA deal remains intact as it is being executed under a Public-Private Partnership (PPP) arrangement, which operates outside the purview of the Privatisation Act.
- 25 Sep 2024 - The event, held at Ridgeways Gardens, featured an exhilarating lineup of artists and DJs, making it an unforgettable night for fans of the iconic brand.
- 25 Sep 2024 - Friend's shoes and conviction to run made him return to school after dropping out due to poverty.
- 25 Sep 2024 - The move will create job opportunities for Kenyans while opening the door to many whose language barrier has hindered entrance into the world of AI.
- 25 Sep 2024 - "May you be blessed, Jonnie. Keep doing a good job. This is kindness, may the goodness of God follow you," exclaimed an online user.
- 25 Sep 2024 - Angolan President João Lourenço has called for additional resources which include equipment and air support, for the Multinational Security Support Mission in Haiti to realize their objective. This was revealed by President William Ruto through his…
- 25 Sep 2024 - Angolan President João Lourenço has called for additional resources which include equipment and air support, for the Multinational Security Support Mission in Haiti to realize their objective. This was revealed by President William Ruto through his…
- 25 Sep 2024 - Senator Omtatah claims he was handpicked.