Waridi wa BBC: 'Tulipishana miaka 40 na mume wangu lakini nilimpenda'
#waridiwabbc #wanawake #ndoa
Imekua ni jambo la kawaida Mwanmke kuolewa na Mwanaume aliyemzidi Umri.Lakini ni kama hili halikubaliki kwa jamii nyingi katika maeneo mengi Duniani
Tafiti zinaonesha kwamba Asilimia 65 ya wanawake walioolewa kuanzia miaka 50 wameolewa na wanaume ambao wamezidi umri na ni asilimia 15 pekee wenye wenza ambao wanawazidi umri walau kwa Mwaka Mmoja
Doreen Kimbi kutoka Tanzania mwaka 2022 alifunga ndoa na Mume wake Agustino Lwatonga Mrema aliyekua Mwanasiasa Mkongwe Nchini Tanzania
Ndoa hii ilizua Gumzo hasa mitandaoni kwani Kiongozi huyo alikua amemzidi miaka 40,Hili liliwezekanaje kwake? Nini hasa kilichomvutia kwa Mzee huyo aliyekua mume wake? Amezungumza na Mwandishi wa BBC Scolar Kisanga Katika Waridi wa BBC
-
-
#bbcswahili #waridiwabbc #wanawake #ndoa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Apr 2025
- The new scam targets individuals seeking to register for SHA.
16 Apr 2025
- So far, Kenyan celebrities and social media influencers have jumped on the train of using the dental braces to lose weight.
16 Apr 2025
- The clarification followed allegations from former DP Gachagua, which caused public uproar.
17 Apr 2025
- President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
16 Apr 2025
- The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
16 Apr 2025
- The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
16 Apr 2025
- President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
16 Apr 2025
- The nominees for Principal Secretary (PS) positions will be sworn in tomorrow, Thursday, 17th April 2025, following their approval by Parliament.
16 Apr 2025
- Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
16 Apr 2025
- All the affected areas will not have power from 9am to 5pm.
16 Apr 2025
- Say she lacks deep understanding of gender-based-violence, women’s rights
16 Apr 2025
- With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.
16 Apr 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced a raft of measures aimed at enhancing service delivery the country’s health care sector. Speaking from parliament on Wednesday, April 16, 2025, Duale disclosed that the government will now ensure…