Washukiwa 51 wanaohusishwa na ghasia jimbo la Plateau wakamatwa
Polisi nchini Nigeria katika jimbo la Plateau, Nigeria waliwapanga mstari washukiwa 51 kati yao watoto wanaotuhumiwa kusababisha ghasia wakati wa maandamano ya hivi karibuni yaliyofanyika katika majimbo kadhaa hususan upande wa kaskazini mwa nchi.
Vijana wengi walimiminika mitaani wiki iliyopita Alhamisi katika miji mikubwa kupinga hali ngumu ya uchumi na ukosefu wa usalama.
Serikali ilisema maandamano katika majimbo mengi ikiwemo la Plateau yalitekwa nyara na kile vyombo vya usalama walichokielezea ni magenge ya wahuni ambao wanadaiwa kuiba na kuharibu mali za serikali na watu binafsi.
Baadhi ya washukiwa waliokamatwa na kufikishwa Mahakama Kuu ya jimbo wanakabiliwa na mashtaka yanayo husiana na kupeperusha bendera za Russia wakati wa maandamano.
“Ninatoa onyo kali kwa wale wote wanaofanya ghasia na maadui wa jimbo tafadhali waondoke na kuliacha jimbo la Plateau.”
Msemaji wa Kituo cha Polisi Jimbo la Plateau, Naibu Mkuu wa Polisi, Alfred Alabo aliiambia VOA.
Shirika la Amnesty International limeishutumu mamlaka kwa kutumia nguvu na hata risasi za moto kuvunja maandamano yaliyopangwa kumalizika Jumamosi.
#nigeria #russia #tinubu #voa
23 Oct 2024
- The shilling has retained its stability against the US dollar despite recent developments in the country.
23 Oct 2024
- Gachagua was dealt another blow on Wednesday.
23 Oct 2024
- The government's attempt to lease the main airport has since attracted nationwide criticism.
24 Oct 2024
- The United States said for the first time on Wednesday that it had seen evidence of North Korean troops in Russia, and South Korean lawmakers said about 3,000 soldiers had been sent to support the Kremlin's war in Ukraine with more to follow.
24 Oct 2024
- Four people were killed and 14 others wounded in an attack at the Turkish Aerospace Industries' headquarters on Wednesday, the government said, and witnesses said they heard gunfire and a loud explosion at the site near Ankara.
24 Oct 2024
- Safaricom CEO Peter Ndegwa has apologised to the firm’s customers following the significant power outage recorded at the telco in late June 2024 that coincided with the anti-government demonstrations.
24 Oct 2024
- World leaders called for peace in the Middle East and Ukraine at the BRICS summit in Russia on Wednesday, as President Vladimir Putin told them he welcomed offers to mediate in the Ukraine conflict.
24 Oct 2024
- A Sri Lankan court sentenced 10 Iranian men to life imprisonment on Wednesday after they pleaded guilty to smuggling over 111 kilograms (244 pounds) of heroin, police sai
24 Oct 2024
- A Ugandan military court on Wednesday sentenced 16 members of an opposition party to five years in prison on illegal possession of explosive devices and "treachery" charges, their lawyer said.
24 Oct 2024
- Defending Champions Gor Mahia were held to a barren draw by KCB FC in a terse Foootball Kenya Federation Premier League match played at Dandora Stadium,Nairobi. KCB inform forward Francis Kahiro nearly gave his side the lead but he was adjudged offside,…
24 Oct 2024
- Nigerian President Bola Tinubu has reshuffled his 45-member cabinet, naming seven new ministers, sacking five and reassigning 10 others to new portfolios, a spokesperson said on Wednesday.
24 Oct 2024
- Pakistan is hoping to finalize both the delayed privatization of its flag carrier and the outsourcing of Islamabad's international airport in November, the country's finance minister said Wednesday. Speaking Wednesday, the finance minister said the five…
24 Oct 2024
- Barcelona winger Raphinha scored a superb hat-trick as his side demolished Bayern Munich 4-1 in the Champions League league phase. Raphina opener the scoring inside the first minute after latching on to a ball over the top and rounding goalkeeper Manuel…