Washukiwa 51 wanaohusishwa na ghasia jimbo la Plateau wakamatwa
Polisi nchini Nigeria katika jimbo la Plateau, Nigeria waliwapanga mstari washukiwa 51 kati yao watoto wanaotuhumiwa kusababisha ghasia wakati wa maandamano ya hivi karibuni yaliyofanyika katika majimbo kadhaa hususan upande wa kaskazini mwa nchi.
Vijana wengi walimiminika mitaani wiki iliyopita Alhamisi katika miji mikubwa kupinga hali ngumu ya uchumi na ukosefu wa usalama.
Serikali ilisema maandamano katika majimbo mengi ikiwemo la Plateau yalitekwa nyara na kile vyombo vya usalama walichokielezea ni magenge ya wahuni ambao wanadaiwa kuiba na kuharibu mali za serikali na watu binafsi.
Baadhi ya washukiwa waliokamatwa na kufikishwa Mahakama Kuu ya jimbo wanakabiliwa na mashtaka yanayo husiana na kupeperusha bendera za Russia wakati wa maandamano.
“Ninatoa onyo kali kwa wale wote wanaofanya ghasia na maadui wa jimbo tafadhali waondoke na kuliacha jimbo la Plateau.”
Msemaji wa Kituo cha Polisi Jimbo la Plateau, Naibu Mkuu wa Polisi, Alfred Alabo aliiambia VOA.
Shirika la Amnesty International limeishutumu mamlaka kwa kutumia nguvu na hata risasi za moto kuvunja maandamano yaliyopangwa kumalizika Jumamosi.
#nigeria #russia #tinubu #voa
21 Apr 2025
- Four Kenyans secured millions after their heroics at the oldest marathon in history.
21 Apr 2025
- President Ruto hopes to achieve several key economic milestones from his China trip.
21 Apr 2025
- The dollar sell-off on Monday has many experts worried.
22 Apr 2025
- A little outreach goes a long way in redeeming lives of despised and shunned lot
22 Apr 2025
- Religious leaders say they are only holding Ruto accountable as head of state.
22 Apr 2025
- His tenure is not without challenges amid high expectations from taxpayers.
22 Apr 2025
- Court of Appeal upheld a High Court verdict that his intentional killing of an innocent man was inexcusable.
22 Apr 2025
- The current doctor-to-patient ratio in Kenya is still far below WHO recommendation of one doctor to 1,000 patients.
22 Apr 2025
- Nassir said the most difficult part was not bringing the building down, but the evacuation of 60,000 people.
22 Apr 2025
- Kenya’s hopes of qualifying for the 2025 Toyota Junior Golf World Cup in Japan now rest on the shoulders of seven rising golf stars who were officially flagged off yesterday at the Royal Nairobi Golf Club ahead of the All Africa Junior Team Championship…
22 Apr 2025
- With his storm of tariffs on Chinese goods, US President Donald Trump has torched ties with Beijing and likely wrecked any hope of meeting his counterpart Xi Jinping in the near term, analysts say. Ali Wyne, a senior research and advocacy adviser…
22 Apr 2025
- Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
22 Apr 2025
- Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…