Watano wauawa, 5 wajeruhiwa wakati al-Shabaab walipovamia hoteli moja nchini Somalia
Watu wenye silaha waliivamia hoteli moja katika mji wa Baladweyne katikati mwa Somalia leo Jumanne ambako wazee wa eneo hilo pamoja na maafisa wa serikali walikuwa wanakutana na kuzingirwa kunaendelea, mashahidi na jamaa waliliambia shirika la habari la Reuters.
Kundi la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Dahir Amin Jesow, mbunge wa jimbo la Baladweyne, alisema hadi sasa kiasi cha watu wanne waliuawa lakini tunaendelea kuhesabu idadi ya vifo. Kundi la wanamgambo wa Kiislamu la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Al-Shabaab mara kwa mara wanafanya mashambulizi ya mabomu na bunduki katika taifa hilo tete katika Pembe ya Afrika wakati likijaribu kuiangusha serikali na kuanzisha utawala wake kwa kuzingatia tafsiri yake kali ya sheria ya Kiislamu ya Sharia.
"Kwanza tulisikia mlipuko mkubwa uliofuatiwa na milio ya risasi, kisha mlipuko mwingine ukasikika" alisema Ali Suleiman mfanyabiashara wa duka ambaye alishuhudia shambulio hilo.
#somalia #hoteli #mauaji #alshabaab #somalia #baladweyne #voa #voaswahili
12 Mar 2025
- The National Cohesion and Integration Commission (NCIC) issued a way forward following the killings.
12 Mar 2025
- Nyoro was ranked as the best performing MP of 2024 alongside Babu Owino by InfoTrak.
12 Mar 2025
- Ruto has in the past complained his government has poor communication.
12 Mar 2025
- More than 100 families have been left homeless after a forcible eviction in Ndabibi, Naivasha, amid allegations that senior government officers are colluding with a government corporation to repossess land from the farmers.
12 Mar 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has dismissed allegations of a handshake with President William Ruto at State House, citing that he would not betray Kenyans for political gain.
12 Mar 2025
- The National Cohesion and Integration Commission (NCIC) issued a way forward following the killings.
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- Nyoro was ranked as the best performing MP of 2024 alongside Babu Owino by InfoTrak.
12 Mar 2025
- The criminals ran the illegal detention centre for more than a week, terrorising and extorting residents.
12 Mar 2025
- Ruto has in the past complained his government has poor communication.
12 Mar 2025
- Atandi will be deputized by Dr. Robert Pukose following a hotly contested but decisive election.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- The remarks have prompted AI generated images, which have flooded social media as Kenyans make fun of the plan.