Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wafariki baada ya kubugia pombe haramu kaunti ya Meru

  • | Citizen TV
    1,452 views
    Duration: 2:13
    Watu wawili wamefariki, huku wengine watano wakiwa katika hali mahututi hospitalini baada ya kunywa pombe haramu inayokisiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Ngitana, Igembe Kaskazini kaunti ya Meru.