- 20 views
Wizara ya afya itarekebisha sheria kuhusu kemikali zinazoharibu mazingira yakiwemo madini ya risasi huku takwimu za kusikitisha zikionyesha kwamba watoto laki sita nchini huwa na matatizo ya kimasomo kutokana na sumu ya madini ya risasi. Haya yalibainishwa huku Kenya ikiungana na ulimwengu kwa makala ya 12 ya juma la kimataifa la kuzuia sumu ya madini ya risasi. Takwimu za kimataifa za shirika la USAID zinaonyesha kwamba mtoto mmoja kati ya wawili hukabiliwa na hatari ya kuathirika kutokana na sumu ya madini ya risasi huku vifo milioni moja vikinakiliwa kila mwaka. Mwanahabari wetu Kasichana Masha anatuarifu zaidi kuhusu tishio la sumu ya madini ya risasi linaloibua wasiwasi wa kiafya na kimazingira.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wiki ya kuangazia madhara ya madini ya risasi yaanza
- 23 Oct 2024 - Sudanese volunteer rescuers said four children were among 20 people killed in an army air strike in the capital Khartoum on Tuesday.
- 23 Oct 2024 - Two days after President William Ruto asked private hospitals to finalize enrollment with the Social Health Authority (SHA), 50% of private medical facilities onboard have been accused of denying services to Kenyans registered under the Social Health…
- 22 Oct 2024 - A family in Nairobi's Eastleigh area is crying out for justice after three of their loved ones—two daughters and their mother—who disappeared on Monday, were found dead.
- 22 Oct 2024 - The High Court will on Wednesday rule whether Deputy Chief Justice Philomena Mwilu has powers to constitute a three-judge bench to hear Rigathi Gachagua’s impeachment case.
- 22 Oct 2024 - A fuel truck ran out of control and exploded into flames near the Ugandan capital on Tuesday, killing at least 10 people, a local official told AFP.
- 22 Oct 2024 - Kenya's High Court ruled on Tuesday that a controversial housing levy introduced last year as part of measures to try to shore up public finances was lawful.
- 22 Oct 2024 - A two-year-old child has been confirmed dead following a fire incident at Mukuru Kwa Reuben in Nairobi.
- 22 Oct 2024 - Impeached DP Rigathi Gachagua on Tuesday pulled a no-show at the DCI, despite detectives offering to listen to him and record statements on allegations that his life was in danger.
- » Athi Water Works Development Agency licensed to operate Northern Collector Bulk Water Supply system22 Oct 2024 - The Athi Water Works Development Agency (AWWDA) has officially received a license from the Water Services Regulatory Board (WASREB) to operate the Northern Collector Bulk Water Supply System, marking a significant milestone in Kenya's efforts to improve…
- 22 Oct 2024 - Residents of Kisumu are now demanding the intensification of patrols by the police to curb rising cases of insecurity in the Lakeside city.