Zaidi ya watoto 400 wenye umri miaka 14 waandikishwa na watendaji wenye silaha
Zaidi ya Watoto 400 mashariki mwa DRC waliandikishwa na watendaji wenye silaha Januari na February mwaka huu huku wengine wakiwa na umri wa miaka 14 na wengine walichukuliwa kutoka kwenye shule na mitaani na kuwekwa katika hatari ya ghasia , shirika la save the children limesema na kunukuu katika tovuti yake.
Wafanyakazi wa ndani wa save the children walioko katika ulinzi wa Watoto kaskazini na kusini mwa jimbo la Kivu waliandika kesi mpya zaidi ya 400 kukiwa na makundi yenye silaha baina ya mwezi January na February mwaka 2025, wakati ghasia zilizozuka mashariki mwa nchi.
Baadhi ya watoto wanaripotiwa kuchukuliwa kutoka kwenye jumuiya zao na kupelekwa kwenye misitu kwa ajili ya kupatiwa mafunzo jinsi ya kutumia silaha bila matakwa yao.
Save the children inatoa msaada kwa watoto ambao wameachiliwa kutoka makundi yenye silaha . Mwaka 2024 kundi hilo lilisaidia takriban watoto 220 ambao awali walijihusisha na makundi yenye silaha katika majimbo ya Ituri , Kivu kaskazini na Kivu Kusini.
Watoto hawa wanapatiwa mafunzo ya kisaikolojia na msaada wa kiuchumi kwa ajili ya kuwawezesha kurejea kwenye jumuiya zao.
#watoto #silaha #drc #savethechildren #vita #jumuiya #familia #mafunzo #voa #voaswahili
16 Apr 2025
- The new scam targets individuals seeking to register for SHA.
16 Apr 2025
- So far, Kenyan celebrities and social media influencers have jumped on the train of using the dental braces to lose weight.
16 Apr 2025
- The clarification followed allegations from former DP Gachagua, which caused public uproar.
17 Apr 2025
- President Donald Trump called Harvard a "joke" Wednesday and said it should lose its government research contracts after the top US university refused to accept demands to come under outside political supervision.
16 Apr 2025
- The financial rot at the Technical University of Kenya is now under the spotlight, as both past and current administrators faced tough questions over how the institution sank into billions in debt.
16 Apr 2025
- The Rapid Support Forces RSF has declared a parallel government in Sudan challenging the military leadership Led by General Abdel Fattal Al Burhan and escalating a conflict already tearing Sudan apart.
16 Apr 2025
- President William Ruto has called for collective responsibility and action in the security and stability of the country.
16 Apr 2025
- The nominees for Principal Secretary (PS) positions will be sworn in tomorrow, Thursday, 17th April 2025, following their approval by Parliament.
16 Apr 2025
- Approximately 12 Kenyans lost their lives in road accidents in the 2024/25 financial year, according to the latest report by the National Transport and Safety Authority (NTSA).
16 Apr 2025
- All the affected areas will not have power from 9am to 5pm.
16 Apr 2025
- With just two months remaining to the end of the financial year, the government is yet to disburse Ksh.33 billion to the National Government Constituency Development Fund (NG-CDF), sparking concern among lawmakers.
16 Apr 2025
- The National Assembly has approved the nomination of Stephen Isaboke as Principal Secretary for Broadcasting and Telecommunications but recommended that he be reassigned to a different state department due to potential conflict of interest stemming from…
16 Apr 2025
- Say she lacks deep understanding of gender-based-violence, women’s rights