Maandamano kulaani vita yaongezeka katika Vyuo Vikuu Marekani
Maandamano ya wanaounga mkono Wapalestina yameongezeka katika vyuo vikuu vya juu vya Marekani siku ya Jumatatu.
Baada ya usiku kuingia, polisi wa kutuliza ghasia wakiwakabili waandamanaji katika Chuo Kikuu cha New York na kuwakamata watu wengi.
Mamia ya waandamanaji walikaidi amri ya chuo kikuu kuondoka kwenye uwanja ambako walikusanyika.
Waandamanaji walikuwa wanapiga kelele wakiitaka mamlaka ya Chuo Kikuu cha New York, NYU kuachana na juhudi zinazohusishwa na vita vya Israel huko Gaza. Katika Chuo Kikuu cha Columbia cha New York, polisi waliwazuia waandamanaji kadhaa.
Maandamano yanayoendelea katika vyuo vikuu ni taswira ya kuongezeka kwa mzozo kati ya Israel na Palestina, ulioanza tarehe 7 Oktoba kwa shambulio baya la wanamgambo wa Kiislamu wa Hamas nchini Israel, na jibu kali la Israel katika Gaza inayodhibitiwa na Hamas.
#Waandamanaji #chuokikuu #columbiauniversity #newyork #marekani #wanafunzi #polisi #palestina #wapalestina #hamas #israel #voa #voaswahili
4 May 2024
- The country has witnessed several unplanned power outages in recent years.
4 May 2024
- The matatu rammed into the trailer, wrecking the entire front part of the vehicle.
4 May 2024
- The senior county official is currently under custody awaiting arraignment.
5 May 2024
- Ahead of the University of Michigan's commencement on Saturday, the school has trained staff volunteers on how to mitigate disruptions: a change from the usual duties of guiding guests around campus and showing them to their seats.
5 May 2024
- Hamas negotiators began intensified talks on Saturday on a possible Gaza truce that would see a halt to the fighting and the return to Israel of some hostages, a Hamas official told Reuters, with the CIA director already present in Cairo for the indirect…
5 May 2024
- Russia launched an overnight drone attack on Ukraine's Kharkiv and Dnipro regions, injuring at least six people and hitting critical infrastructure, commercial and residential buildings, regional officials said on Saturday.
5 May 2024
- At least 42 deaths have been recorded from a measles outbreak in just over a week in Nigeria's northeastern state of Adamawa, the state's health commissioner said on Friday.
5 May 2024
- German company HyImpulse successfully launched on Friday a candle wax-powered rocket capable of carrying commercial satellites on a test suborbital flight into space for the first time.
5 May 2024
- The death toll from rains in Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul rose to 56, local authorities said on Saturday morning, while dozens still have not been accounted for.
5 May 2024
- Bridging the digital divide calls for inclusive development
5 May 2024
- Residents evacuated in Coast as Cyclone Hidaya slams Tanzania
5 May 2024
- Ministry issues cholera alert amid floods, medics' strike
5 May 2024
- More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse