Skip to main content
Skip to main content

Wabunge wa Nyeri wanaounga mkono UDA wamkosoa Gachagua

  • | Citizen TV
    2,529 views
    Duration: 1:29
    Viongozi wanaounga mkono chama tawala cha UDA kutoka kaunti ya Nyeri wamemtaka kinara wa DCP Rigathi Gachagua kukoma kushurutisha wakazi wa eneo la kati kujiunga na chama chake.